Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Tundu Lissu Kufikishwa Mahakamani Mei 19 – Kesi Kufanyika Katika Ukumbi wa Wazi

  • 50
Scroll Down To Discover

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Machi 6, 2025 imetoa uamuzi mdogo juu ya kesi inayomkabili mwenyekiti wa Chama Taifa, Tundu Lissu
1. Kesi ya Lissu itaendesha kwenye Mahakama ya wazi (Open Court no. 1)
3. Tundu Lissu aletwe Mahakamani tarehe 19/5/2025
4. Watu wote wanaruhusiwa kuja ukumbi wa wazi wa Mahakama
5. Watu waingie Mahakamani kwa amani na kutunza amani nje na ndani ya Mahakama
6. Link itatumwa kwa wasio na uwezo wa kufika mahakamani.

Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, imeahirishwa hadi Mei 19, 2025.

Mwanasheria wa Chadema na wakili anayemtetea Lissu, Dk. Rugemeleza Nshala amefafanua sababu za kuahirishwa kwa kesi hiyo.



Prev Post Mbunge Shigongo Apongeza Walimu, Asema Wanafanya Kazi ya Kipekee – Video
Next Post Mathew Ngomba Kutoka Tabata Shule Aibuka Milionea
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook