Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Mbunge Shigongo Apongeza Walimu, Asema Wanafanya Kazi ya Kipekee – Video

  • 51
Scroll Down To Discover

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amesema kazi inayofanywa na walimu ni kubwa na kwamba hakuna mshahara unaoweza kutosha kuwalipa hapa duniani.

Shigongo ameyasema hayo alipokuwa akizungumza kwenye wiki ya elimu iliyofanyika katika Kata ya Nyehunge, Jimbo la Buchosa ambayo imehusisha walimu wakuu, maafisa elimu na wakuu wa shule zote za sekondari Buchosa kwa lengo la kujadili namna ya kukuza elimu kwenye Halmashauri ya Buchosa.

🔴 Tufuatilie kupitia YouTube ya Global TV, like, comment ili kuendelea kuhabarika kila siku kwa habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika.



Prev Post Diamond Mfalme Wa Youtube Africa.
Next Post Tundu Lissu Kufikishwa Mahakamani Mei 19 – Kesi Kufanyika Katika Ukumbi wa Wazi
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook