

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzao na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Abdullah Bin Zayed Al Nahyan, tarehe 05 Mei, 2025 Ikulu jijini Dar es Salaam.




Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!