Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Makardinali 133 Kushiriki Uchaguzi Wa Kumchagua Papa Mpya Mei 07, 2025

  • 31
Scroll Down To Discover

Maandalizi ya mkutano wa uchaguzi wa Papa mpya unaotarajiwa kuanza Mei 07, 2025, Baraza la Makardinali limetangaza kuwa Makardinali wote 133 walio chini ya umri wa miaka 80 wana haki ya kupiga kura, licha ya kikomo cha awali cha 120 kilichowekwa na katiba ya kitume Universi Dominici Gregis.

Hii ni kwa sababu Papa Francisko aliwateua Makardinali zaidi ya 120 waliokuwa chini ya umri huo, hivyo kuwapa haki ya kushiriki katika uchaguzi huo.

Fahamu Papa mpya anavyochaguliwa na Makadinali Vatikani Roma



Prev Post Meridianbet Yakupa Nafasi Ya Kishua – Shinda Simu Mpya Ya Samsung A25!
Next Post Benki ya CRDB Yaibuka Kidedea Maonesho ya Kitaifa ya OSHA 2025
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook