Shirika la kudhibiti maambukizi barani Afrika, Afrika CDC limetangaza mlipuko wa ugonjwa Ebola katika mkoa wa Ituri Mashariki mwa DRC. Watu 65 wanaaminiwa kufariki kutokana na ugonjwa huo.
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw






Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!