Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Rais Samia: Falsafa ya 4R Si Kisingizio cha Kuvunja Sheria – Video

  • 23
Scroll Down To Discover

Akihutubia Taifa, Rais Samia Suluhu amesema Kamwe falsafa ya 4R haiwezi kuwa kisingizio cha kuvunja Sheria au cha kujenga mazingira yanayohatarisha amani, utulivu na usalama wa Nchi
Amesema “Demokrasia yetu imeendelea kukua na kuimarika hususani kupitia falsafa yetu ya 4R, ambayo itaendelea kuwa nyenzo muhimu ya kukuza Ushiriki na Ushirikishwaji wa Wananchi kwenye masuala muhimu kwa mustakabali wa nchi yetu”
Ameongeza “Hata hivyo nataka kusisitiza kwamba, kutekelezwa kwa falsafa ya 4R kunaendana sambamba na kuzingatiwa kwa Katiba na Sheria za Nchi”



Prev Post Balozi Nchimbi Apiga Marufuku Wimbo Unaochochea Chuki Dhidi Ya Wapinzani
Next Post Rais Dkt Samia Ahutubia Taifa Kuelekea Miaka 61 Ya Muungano – Video
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook