Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Rais Trump ana imani kwamba vita vya Urusi na Ukraine vitaisha karibuni, katika Dira ya Dunia TV

  • 5
Scroll Down To Discover

Rais wa Ukraine Volodymr Zelensky ameliambia bunge la Uholanzi kwamba Urusi inahitaji kuwajibishwa kwa kuishambulia Ukraine. Viongozi wa Umoja wa Ulaya wataamua baadaye wiki hii ikiwa mali ya Urusi iliyozuiliwa inaweza kutumika katika kufidia Ukraine. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO DISEMBA 17, 2025
Next Post SIKUWALENGA SIMBA, HERSI AFUNGUKA HAYA
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook