Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Waziri Dkt. Tax Aishukuru JKT Kwa Kutekeleza Agizo la Serikali Kuacha kutumia Nishati Chafu ya kuni

  • 21
Scroll Down To Discover

Waziri wa Ulinzi na JKT Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax amesifu Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania na Jeshi la Kujenga Taifa kwa kutekeleza kwa vitendo maagizo ya Serikali ya kuacha kutumia Nishati Chafu ya kuni na mkaa katika kupikia na kuanza kutumia nishati safi ya Gesi.

Mhe. Dkt. Tax ametoa pongezi hizo wakati wa ziara ya kikazi katika kikosi cha Msange JKT tarehe 23 Aprili 2025 wakati akikagua utekelezaji na utayari wa kikosi hicho katika matumizi ya Nishati ya Gesi.

Amesema katika vikosi alivyopita kukagua miundo mbinu hiyo, amefurahishwa na uokoaji wa fedha zilizokuwa zikitumika kununua mkaa ambapo kwa kikosi cha Msange walikuwa wakitumia Milioni 15,000,000 kununua mkaa kwa mwezi, walipoanza kutumia Nishati ya Gesi wamekuwa wakitumia si zaidi ya shilingi 4,800,000 kwa mwezi.



Prev Post Jeshi la Polisi Simiyu Lamfikisha Mahakamani Binti kwa Kudai ni Askari JWTZ – Video
Next Post MAGAZETI ya Leo Alhamisi 24 April 2025
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook