Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

MAGAZETI ya Leo Jumatano 23 April 2025

  • 10
Scroll Down To Discover

MAGAZETI ya Leo Jumatano 23 April 2025

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema usiku huu kimempata kwenye simu Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho, John Heche na kusema taarifa zaidi zitatolewa na Heche mwenyewe kesho atakapoongea na Waandishi wa Habari.

Chadema imesema kuwa Heche ataongea na Waandishi wa Habari katika Makao Makuu ya Chama hicho kuanzia saa saba mchana na Waandishi wote wanakaribishwa.

Itakumbukwa jioni leo CHADEMA ilisema kuwa Jeshi la Polisi limemkamata Heche katika eneo la Kariakoo alikokuwa akiongea na Wananchi na baada ya kumkamata walimpeleka kituo cha Polisi Msimbazi na kisha baadae kumtoa Kituoni hapo na kusema baadhi ya Viongozi walifika kituo cha Polisi kati na kujibiwa kuwa hajafikishwa kituoni hapo.



Prev Post Bibi wa Miaka 60 Ajifungua Baada ya Kuitwa Aliyelaaniwa
Next Post Wimbo Wa Jux Na Phyno ‘God Design’ Ndani Ya Top 10 Itunes Nigeria
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook