Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Kashera: Watumishi wa Serikali Kufichua Siri ni Kosa la Jinai

  • 38
Scroll Down To Discover

Omar Kashera, mshauri na mtaalamu wa uongozi wa kistratejia ambaye amebobea kwenye masuala mbalimbali ya kidiplomasia na itifaki

Unajua kwamba mtumishi wa serikali aliyekula kiapo, akitoa siri ni kosa la jinai na anaweza kufungwa?

Omar Kashera, mshauri na mtaalamu wa uongozi wa kistratejia ambaye amebobea kwenye masuala mbalimbali ya kidiplomasia na itifaki, ameshusha nondo hizo wakati akitoa darasa kwa watumishi wa Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere, Kibaha mkoani Pwani.

Kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Kijamii wa Instagram wa Omar Kashera, amekuwa akitoa masomo muhimu na kuelekeza mambo mengi ambayo wengi hawayajui kuhusu diplomasia, itifaki na uongozi.

Leo anaelezea kuhusu umuhimu wa watumishi wa serikali kutunza siri hasa wanapozungumza na simu kwani huwa wanasikilizwa.

Video iko hapa chini kwenye ukurasa wetu wa Instagram



Prev Post Kwa nini Israel imewaita wanajeshi wake wa akiba? Katika Dira ya Dunia TV Jumatano 20/08/2025
Next Post Watu 27 wauawa katika shambulio la kigaidi msikitini Nigeria
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook