
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko aongoza Mazishi ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme nchini (TANESCO), Mhandisi Boniface Gissima Nyamo-Hanga katika Kijiji cha Migungani Wilaya ya Bunda mkoani Mara.



Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko aongoza Mazishi ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme nchini (TANESCO), Mhandisi Boniface Gissima Nyamo-Hanga katika Kijiji cha Migungani Wilaya ya Bunda mkoani Mara.
Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!