Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Richard Manyota: Kuna Watu Wanataka Kuivuruga Chadema – Video

  • 13
Scroll Down To Discover

Mchambuzi wa masuala ya siasa kutoka Global TV Online, Richard Manyota, amesema hali ya sintofahamu inayoendelea ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) inaonyesha wazi kuwa kuna watu wanaolenga kukivuruga chama hicho kwa maslahi yao binafsi.

Kupitia tafakuri yake, Manyota amesema kelele na malalamiko yanayozidi kushika kasi mitandaoni na kwenye majukwaa mbalimbali kuhusu mchakato wa uongozi mpya wa chama hicho hayalengi kujenga, bali kuharibu taswira ya chama mbele ya jamii.



Prev Post RC Chalamila Atembelea na Kukagua Miradi Mbalimbali Jimbo la Kibamba Ubungo
Next Post Tanzania Yaandaa Mkutano wa Kanda Kuimarisha Umoja na Mafanikio ya Huduma za Magonjwa ya Damu
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook