Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Shigongo Awachana Vijana Wa Buchosa “Hatuwezi Kuwa Na Taifa Lenye Ulevi Na Kubeti…” – Video

  • 32
Scroll Down To Discover

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amewaasa vijana kutoendekeza ulevi na kubet na kwamba Tanzania haiwezi kuwa taifa la vijana wanaowaza pombe na kubet muda wote.

Amewataka kuelekeza nguvu kwenye shughuli za maendeleo ambazo zitawakwamua wao na familia zao.



Prev Post Rais wa Zamani wa Marekani Joe Biden Agundulika na Saratani ya Tezi Dume
Next Post Kesi ya Uhaini ya Lissu Yapigwa Kalenda Kisutu, Afikishwa Mahakamani – Video
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook