Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

MAGAZETI ya Leo Ijumaa 06 June 2025

  • 30
Scroll Down To Discover

MAGAZETI ya Leo Ijumaa 06 June 2025

MAGAZETI ya Leo Ijumaa 06 June 2025

MAGAZETI ya Leo Ijumaa 06 June 2025

Wanachama wa Klabu Yanga ambao ni viongozi wa Matawi, wametoa Msimamo mkali wakiwataka mashabiki wa timu hiyo kutobabaishwa kwani kikosi chao hakitakwenda uwanjani kwenye mchezo wa Dabi ya Kariakoo, Juni 15, 2025.

Msimamo huo umetolewa leo na Mratibu wa Matawi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Shabani Mgonja, aliyebainisha kuwa Baraza la Matawi limepitisha uamuzi rasmi kwamba hawatashiriki mchezo huo.

Mgonja ameonya kuwa endapo Simba SC, Bodi ya Ligi na Waamuzi watajitokeza kwa ajili ya mchezo huo na ikatolewa uamuzi wa Yanga kunyang’anywa pointi 15, basi kwao itakuwa mwisho wa ushiriki katika Ligi Kuu Bara msimu huu kwa kuwa hawana tena imani na uongozi wa Bodi ya Ligi.



Prev Post NMB Yatangaza Gawio la Kihistoria na Matokeo Makubwa ya Fedha kwa Mwaka 2024
Next Post BAADA YA KUONA FEI TOTO ANAWEZA KUSEPA…AZAM WAHAMISHA NGUVU KWA STAA WA SIMBA..
Related Posts
© Image Copyrights Title

MAGAZETI ya Leo Alhamisi 05 June 2025

© Image Copyrights Title

MAGAZETI ya Leo Jumatano 04 May 2025

Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook