Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

MAGAZETI ya Leo Jumatano 28 May 2025

  • 28
Scroll Down To Discover

MAGAZETI ya Leo Jumatano 28 May 2025

MAGAZETI ya Leo Jumatano 28 May 2025

MAGAZETI ya Leo Jumatano 28 May 2025

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), limewaita vijana waliomaliza kidato cha sita mwaka 2025 kuhudhuria mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria kwa mwaka 2025.

Kwa mujibu wa JKT, vijana hao wanatakiwa kufika katika makambi waliyopangiwa Kuanzia May 28 hadi June 8, 2025.

Vijana hao wamepangiwa kuripoti katika makambi ya JKT Rwamkoma (Mara), Msange (Tabora), Ruvu na Kibiti (Pwani), Mpwapwa na Makutopora (Dodoma).

Kambi nyingine za JKT ni Mafinga (Iringa), Mlale (Ruvuma)Mpambo na Maramba (Tanga), Makuyuni na Orjolo (Arusha), Bulombora, Kanembwa na Mtabila (Kigoma), Itaka (Songwe) Luwa na Milundikwa (Rukwa), pamoja na Nachingwea (Lindi).

Aidha Wahitimu wenye ulemavu wa kuonekana kwa macho (physical disabilities) waripoti katika kambi ya Ruvu iliyo Mlandizi mkoani Pwani ambayo ina miundombinu ya kuhudumia watu wa jamii hiyo.

KUONA MAJINA BOFYA HAPA 



Prev Post Ujio wa Teknolojia Mpya Kuchochea Ushiriki Kwenye Soko la Hisa
Next Post ALICHOKISEMA FADLU BAADA YA SIMBA ‘KUNYONGWA CAF’ JUZI….
Related Posts
© Image Copyrights Title

MAGAZETI ya Leo Alhamisi 29 May 2025

© Image Copyrights Title

MAGAZETI ya Leo Alhamisi 29 May 2025

Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook