Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

NEC Yatoa Fomu kwa Mgombea Urais wa ADC, Wilson Mulumbe

  • 5
Scroll Down To Discover

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Jacobs Mwambegele  14 Agosti, 2025 amekabidhi fomu za uteuzi kwa mgombea wa Kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano kutoka Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Wilson Elias Mulumbe. Hafla hiyo imefanyika kwenye ofisi za Tume zilizopo Njedengwa Jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele, Agosti 14, 2025, amemkabidhi fomu za uteuzi wa kugombea kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mgombea wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Wilson Elias Mulumbe.

Hafla hiyo imefanyika katika ofisi za Tume, zilizopo Njedengwa, jijini Dodoma.

Mulumbe aliambatana na mgombea mwenza wa kiti cha Makamu wa Rais kwa tiketi ya ADC, Mhe. Shoka Khamis Juma.



Prev Post Mchambuzi Saleh Jembe Atoa Maoni Kuhusu Mchango wa Yanga kwa CCM – Video
Next Post Benki 10 zilizopata faida zaidi Tanzania nusu ya kwanza ya mwaka 2025
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook