Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

MAGAZETI ya Leo Jumatano 11 June 2025

  • 39
Scroll Down To Discover

MAGAZETI ya Leo Jumatano 11 June 2025

MAGAZETI ya Leo Jumatano 11 June 2025

MAGAZETI ya Leo Jumatano 11 June 2025

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imezuia kwa muda shughuli zote za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katibu mkuu, mawakala na wafuasi wa chama hicho kushiriki kwa namna yoyote hadi pale kesi ya msingi itakaposikilizwa.

Pia, imeagiza mali zote za Chadema zisitumike mpaka pale kesi ya msingi itakaposikilizwa.

Kesi ya msingi kuhusu mgawanyo wa rasilimali za chama hicho imepangwa kuanza kusikilizwa Juni 24, 2025.

Kesi hiyo imefunguliwa na Said Issa Mohamed, Makamu Mwenyekiti mstaafu wa chama hicho Zanzibar na wenzake wawili, Ahmed Rashid Khamis na Maulida Anna Komu, ambao ni wajumbe wa Bodi ya Wadhamini wa Chadema kutokea Zanzibar.

Wadaiwa katika kesi hiyo inayosikilizwa na Jaji Hamidu Mwanga ni Bodi ya Wadhamini wa Chadema, ikiwa mdaiwa wa kwanza na Katibu Mkuu wa Chadema, akiwa mdaiwa wa pili.



Prev Post NMB Yakabidhi Gawio la Bil. 68.1/- Kwa Serikali, Msajili Hazina Aipongeza
Next Post Afariki Dunia Akiwa na Mke wa Mtu Katika Guest House Mkoani Njombe – Video
Related Posts
© Image Copyrights Title

MAGAZETI ya Leo Alhamisi 12 June 2025

© Image Copyrights Title

MAGAZETI ya Leo Jumanne 10 June 2025

Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook