Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

MAGAZETI ya Leo Jumatatu 26 May 2025

  • 36
Scroll Down To Discover

MAGAZETI ya Leo Jumatatu 26 May 2025

Kocha wa Simba, Fadlu Davids anazungumzia mchezo akisema licha ya kupitia magumu mengi waliendelea kuwa imara na kupambana hadi mwisho wa mchezo, na kama timu wataendelea kuwa waadilifu.

Kocha Fadlu amegusia baadhi ya matukio ikiwemo kadi nyekundu kwa Yusuph Kagoma ambayo amesema “…haikuwa na ulazima….”

Kuhusu jinsi gani kadi hiyo imechangia matokeo ya leo, Fadlu amesema iliwaathiri kwakuwa walilazimika kucheza pungufu dhidi ya mabingwa wa Morocco, lakini haikuwapunguzia nguvu ya kusaka goli zaidi….

Kuhusu uamuzi wa ‘off-side’ kwenye kile walichoamini kuwa ni goli, Kocha Fadlu anasema hana uhakika kama kweli ilikuwa ni offside akisema “…sijaona mistari ya VAR kuonesha kuwa ilikuwa off side, na pia sijui kama kuna mtu ameiona, lakini tunakubali yote”

Amewapongeza wachezaji wake kwa upambanaji waliouonesha licha ya kuwa pungufu na kukabiliwa na maamuzi mengi yaliyokuwa dhidi yao…



Prev Post MAGAZETI ya Leo Jumapili 25 May 2025
Next Post Majaliwa: Serikali Itaendeleza Mikakati Ya Kuwaunganisha Wafanyabiashara
Related Posts
© Image Copyrights Title

MAGAZETI ya Leo Jumanne 27 May 2025

© Image Copyrights Title

MAGAZETI ya Leo Jumapili 25 May 2025

Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook