Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Kampeni za uchaguzi zakamilika Tanzania. Katika Dira ya Dunia TV

  • 15
Scroll Down To Discover

Leo Jumatatu ni siku ya mwisho ya kampeni za uchaguzi mkuu kwa upande wa Tanzania bara, huku zikisalia siku mbili tu kabla ya Watanzania kupiga kura katika uchaguzi mkuu kuwachagua viongozi watakaowaongoza kwa miaka mitano ijayo. Mwandishi wa BBC, Elizabeth Kazibure, ametembelea mitaa ya Dar es Salaam na kuzungumza na kupata baadhi ya maoni ya wananchi. #bbcswahili #tanzania #zanzibar #uchaguzi2025 #uchaguzi #uchaguzimkuu #ccm #chadema #actwazalendo Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post BAADA YA KUFANYA NA YANGA….HUYU HAPA MZEE WA REKODI KWENYE SOKA LA BONGO….
Next Post PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 28, 2025
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook