Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Luhaga Mpina Aachwa Nje! CCM Yateua Wagombea Saba Kura za Maoni Kisesa

  • 52
Scroll Down To Discover

Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo, Julai 29, 2025, imetangaza majina ya wagombea saba walioteuliwa kupigiwa kura za maoni kuwania nafasi ya ubunge katika Jimbo la Kisesa — huku jina la aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo, Luhaga Mpina, likiwa halipo kwenye orodha!

Tangazo hilo limetolewa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, katika mkutano na waandishi wa habari.

BONYEZA HAPA >>> ORODHA YA WAGOMBEA WA NAFASI ZA UBUNGE WALIOTEULIWA NA CHAMA



Prev Post Majaliwa: Actif 2025 Itoe Majibu Ya Changamoto Za Kibiashara Na Uwekezaji
Next Post Hersi Said Aachwa Nje! CCM Yateua Wagombea Sita Kigamboni
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook