
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo ameitaka serikali kuchukua hatua zaidi za kudhibiti homa ya ini (Hepatitis B) ambayo kwa sasa inaathiri asilimia 6 ya Watanzania kwa kutoa chanjo kwa Watanzania.
Shigongo aliyasema hayo nje ya viwanja vya bunge baada ya kuchangia hoja katika Bajeti ya Wizara ya Afya iliyowasilishwa bungeni jijini Dodoma.
Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!