
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Doto Biteko, akiwa kwenye picha ya pamoja na (kutoka kushoto) Bi. Fatma Abdallah (Mkurugenzi Mtendaji – Puma Energy Tanzania), Bw. Mark Russell (Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Puma Energy), Mh. Doto M. Biteko (Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati), Bw. Ben Ouattara (Mkuu wa Kanda ya Afrika – Puma Energy), na Dkt. James Andilile (Mkurugenzi Mkuu – EW) baada ya kikao cha kujadili fursa za ushirikiano katika sekta ya nishati. Tukio hilo lilifanyika leo katika ofisi za Waziri Mkuu, jijini Dodoma.
Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!