Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Dkt. Samia Aendelea na Kampeni za CCM Kusini Unguja (Picha +Video)

  • 3
Scroll Down To Discover

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameendelea na mikutano yake ya kampeni katika Mkoa wa Kusini Unguja.

Dkt. Samia alizungumza na wananchi wa Makunduchi, Zanzibar, mnamo tarehe 17 Septemba 2025, akisisitiza dhamira ya CCM kuendeleza maendeleo ya wananchi na kulinda mshikamano wa kitaifa.

Ziara hii ni sehemu ya muendelezo wa kampeni za chama hicho kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025.



Prev Post Mahakama Kuu Afrika Kusini Yatupilia Mbali Rufaa ya Familia ya Edgar Lungu
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook