Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Mgombea Ubunge Buchosa Ashiriki Maziko ya Marehemu Hamis

  • 2
Scroll Down To Discover

Mgombea ubunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo (CCM), ameshiriki pamoja na wananchi wa Kata ya Kalebezo katika mazishi ya marehemu Hamis, aliyefariki dunia kutokana na ajali ya pikipiki.

Mazishi hayo yalifanyika Kitongoji cha Mizozoro, Kijiji cha Magulukenda, Kata ya Kalebezo, Halmashauri ya Buchosa, Wilaya ya Sengerema, Mkoa wa Mwanza.



Prev Post Wabunge Chad waongeza muda wa rais kukaa madarakani
Next Post Raia wa Malawi Wanapiga Kura Kumchagua Rais Leo
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook