Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

"Tumewatafuta lakini bado hatujui walipo". Katika Dira ya Dunia TV

  • 9
Scroll Down To Discover

Serikali ya Tanzania inatuhumiwa na makundi mbalimbali ya watetezi wa haki za binadamu kwa kuwakandamiza wapinzani na wakosoaji, japo serikali ya taifa hilo la Afrika Mashariki inakanusha hilo. Baadhi ya wanaharakati wameendelea kushinikiza mamlaka kutatua tatizo la watu kupotea. Baadhi ya ndugu na jamaa ya waliodaiwa kutekwa wanatafuta majibu ya walipo wapendwa wao. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post Balozi Dkt. Nchimbi Aagana na Simiyu, Asepa Shinyanga Kusaka Kura za Ushindi CCM
Next Post PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 04, 2025
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook