Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Thomas Partey Afunguliwa Kesi 5 Za Ubakaji Uingereza

  • 42
Scroll Down To Discover

Kiungo wa zamani wa Arsenal, Thomas Partey

Kiungo wa zamani wa Arsenal, Thomas Partey, anakabiliwa na mashtaka sita ya ukatili wa kingono nchini Uingereza — ikiwemo makosa matano ya ubakaji na moja la unyanyasaji wa kingono.

Tuhuma hizo zinatoka kwa wanawake watatu, na zinadaiwa kutokea kati ya 2021 na 2022:

Mwanamke wa kwanza: makosa mawili ya ubakaji

Mwanamke wa pili: makosa matatu ya ubakaji

Mwanamke wa tatu: kosa moja la unyanyasaji wa kingono

Kesi hii imeibuka muda mfupi tu baada ya Partey kuondoka rasmi Arsenal wiki hii.

Jeshi la Polisi la Metropolitan limesisitiza kuwa uamuzi wa kufungua mashtaka ulifikiwa baada ya uchunguzi makini, jambo linalodhihirisha uzito wa tuhuma zinazomkabili nyota huyo. Partey bado hajazungumza hadharani kuhusu tuhuma hizo.

Tufuatilie kupitia YouTube ya Global TV — usisahau ku-like, ku-comment na ku-subscribe ili uendelee kuhabarika kila siku kwa habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika.



Prev Post PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO JULAI 05, 2025
Next Post Rais Samia Aombewa Sala Maalum na Mwamposa Baada ya Kufungua Kanisa la Arise and Shine – (Picha +Video)
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook