Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Rais Samia Amuapisha CPA Amos Makalla Kama Mkuu wa Mkoa wa Arusha

  • 2
Scroll Down To Discover

Dodoma, Agosti 26, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemuapisha CPA Amos Gabriel Makalla kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.

Hafla ya kumsimika Makalla ilifanyika Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma, ambapo viongozi mbalimbali wa serikali na mamlaka za mkoa walishiriki.

Makalla ataanza rasmi majukumu yake ya kusimamia maendeleo na uendeshaji wa shughuli za serikali mkoani Arusha, akilenga kuhakikisha ushirikiano mzuri kati ya serikali, wananchi na wadau mbalimbali wa maendeleo.

 



Prev Post Kufutwa kwa Kesi ya Kikatiba Kupinga Dkt. Samia Kugombea Urais, Comrade Mgeja Awapa Onyo Kina Malisa na Polepole
Next Post Alichokisema Rais Samia leo Baada ya kuapisha viongozi mbalimbali Ikulu Chamwino – Video
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook