Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Wanahabari 5 wauawa katika shambulizi la Israel huko Gaza, katika Dira ya Dunia TV

  • 5
Scroll Down To Discover

Maafisa wa afya wa Palestina huko Gaza wanasema zaidi ya watu 20 wameuawa katika mashambulizi ya anga ya Israel yaliyolenga Hospitali ya Nasser katika mji wa kusini wa Khan Younis. Wanahabari 5 ni miongoni wa wale waliouawa. Jeshi la Israel limethibitisha kwamba shambulio lilifanyika katika eneo la hospitali ya Nasser na sasa linafanya uchunguzi wa haraka. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post MASHINE MBILI MPYA SIMBA HIZI HAPA….’MAJAMAA’ YANAPIGA KAZI HATARI…..
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook