Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Rais Dkt.Samia ateua Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais,Maendeleo ya Vijana

  • 41
Scroll Down To Discover

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka, viongozi walioteuliwa ni wafuatao:-

(i) Bi. Jenifa Christian Omolo, ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais,Maendeleo ya Vijana. Kabla ya uteuzi huu, Bi. Omolo alikuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha; na

Aidha, uapisho wa viongozi walioteuliwa utafanyika Ikulu Chamwino, Dodoma tarehe 21 Novemba, 2025 saa 8.00 mchana.



Prev Post Waziri Mkuu Mwigulu Azungumza na Katibu Mkuu wa TEC, Padri Kitima Dar
Next Post Polisi Mkoa wa Mbeya Wakamata Mwandambo Akidaiwa Kusambaza Maneno ya Uchochezi Mitandaoni
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook