Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Polisi Watoa Tahadhari Kali Dhidi ya Matamko Yanayoweza Kuharibu Amani

  • 24
Scroll Down To Discover

Polisi Nchini limetoa tahadhari kali kwa makundi na watu binafsi wanaotoa kauli, matangazo au mikutano inayoweza kuhatarisha amani na kuibua chuki miongoni mwa Wananchi, likisisitiza kuwa halitasita kuchukua hatua kwa mujibu wa sheria.

Katika taarifa iliyotolewa leo Novemba 21,2025 na Msemaji wa Jeshi la Polisi kutoka Makao Makuu ya Polisi jijini Dodoma, jeshi hilo limesema linaendelea kufuatilia kwa karibu mwenendo wa hali ya usalama nchini, hususan katika kipindi hiki ambacho kumeshuhudiwa ongezeko la matamko yanayodaiwa kuashiria kuvuruga utulivu wa nchi.



Prev Post Matatizo ya Afya Yanayosababishwa na Maji Kupita Kiasi Mwilini
Next Post Waziri Mkuu Mwigulu Azungumza na Katibu Mkuu wa TEC, Padri Kitima Dar
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook