Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Picha: Wabunge wa Bunge la Kumi na Tatu Wanza Zoezi la Kujisajili Dodoma

  • 15
Scroll Down To Discover

WABUNGE wa Bunge la Kumi na Tatu wameanza rasmi zoezi la kujisajili leo, tarehe 8 Novemba 2025, katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma, tayari kujiandaa kwa Mkutano wa Kwanza utakaofanyika tarehe 11 Novemba 2025.

Zoezi hili la usajili ni sehemu ya taratibu rasmi za kuanza kwa vikao vipya vya Bunge, ambapo wabunge wanathibitisha usajili wao ili kushiriki kikamilifu katika mijadala, maamuzi, na shughuli za kikanuni za Bunge.

Wabunge wameripotiwa wakiwa na shauku na ari ya kuanza majukumu yao, huku wafanyakazi wa Bunge wakihakikisha zoezi linafanyika kwa utaratibu na ufanisi.

 



Prev Post PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO NOVEMBA 08, 2025
Next Post Watu 172 Kortini Wakituhumiwa Kufanya Vurugu, Unyang’anyi Wa Kutumia Silaha Mwanza
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook