Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Makala maalum ya uchaguzi Tanzania, katika Dira ya Dunia TV

  • 10
Scroll Down To Discover

Jumatano Oktoba 29, 2025, ni siku muhimu kwa Tanzania. Ni siku ya uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani, tukio la kikatiba linalotazamwa kama kilele cha demokrasia ya taifa. Lakini mwaka huu, siku hiyo hiyo imechukua sura mbili. Wakati serikali na vyama vya siasa vinawahimiza wananchi kujitokeza kupiga kura, makundi mengine yanayojitambulisha kama wanaharakati yanahamasisha maandamano, wakisema ni njia ya kupaza sauti zao dhidi ya kile wanachokiona kama kukwama kwa mageuzi ya kisiasa. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post PAMOJA NA KUFUZU..HUKO KIMATAIFA YANGA HAIKUWA KAZI RAHISI AISEE….UKWELI HUU HAPA…
Next Post Wasimamizi wa Vituo Kupiga Kura Kibiti Wapatiwa Mafunzo
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook