Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Raila Odinga atuzwa heshima ya juu zaidi Kenya. Matangazo ya Dira ya Dunia TV

  • 16
Scroll Down To Discover

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya na kinara wa chama cha ODM Raila Odinga ametambuliwa kama shujaa kwenye hafla ya kuwakumbuka 'mashujaa' waliojitoa muhanga kwa ajili ya kupigania taifa kwa njia moja au nyingine. Rais William Ruto, alimpokeza Raila heshima ya juu kabisa inayopawa raia wa Kenya. #railaodinga #kenya #bbcswahilileo #bbcswahili #bbcswahili Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post Ndege Ya Mizigo Ya Emirates Yatumbukia Baharini Hong Kong, Watu Wawili Wafariki
Next Post PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 21, 2025
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook