Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Makamu wa Rais Dkt. Mpango Atoa Heshima za Mwisho kwa Raila Odinga Jijini Nairobi

  • 15
Scroll Down To Discover

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, ametoa heshima za mwisho kwa mwili wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Kenya, marehemu Raila Amolo Odinga, katika Mazishi ya Kitaifa yaliyofanyika leo, tarehe 17 Oktoba 2025, katika Uwanja wa Nyayo, jijini Nairobi, Kenya.

Dkt. Mpango alimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwenye tukio hilo ambalo limehudhuriwa pia na viongozi mbalimbali wa kitaifa na kimataifa waliokuja kutoa heshima zao za mwisho kwa kiongozi huyo mkongwe wa siasa za Kenya na Afrika Mashariki.



Prev Post Ibada ya Kitaifa ya Kumuaga Raila Odinga Yafanyika Nairobi
Next Post Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu Yaahirishwa Ili Shahidi Atumie Kompyuta Kutambua Vielelezo
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook