Hali ya wasiwasi inaendelea kutanda Madagascar usiku huu, huku ripoti zikisema kwamba huenda Rais Andry Rajoelina aliondoka nchini humo kwa kutumia helikopta ya kijeshi ya Ufaransa. Awali, vyombo vya habari vya Ufaransa viliripoti kuwa uhamisho huo wa Rais Rajoelina ulikubaliwa na Rais Emmanuel Macron, ingawa mamlaka za Ufaransa zimesema kuwa haziingilii mgogoro wa ndani wa Madagascar.
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!