Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Manka Chuga Azua Gumzo Mitandaoni Kwa Kunywa Vinywaji Vikali Kwa Wakati Mmoja, Afunguka Mazito – Video

  • 4
Scroll Down To Discover

Mwanadada Getruda Fedrick, anayejulikana zaidi kwa jina la Manka Chuga.

Mwanadada Getruda Fedrick, anayejulikana zaidi kwa jina la Manka Chuga, amevutia hisia mitandaoni kutokana na aina yake ya kunywa vinywaji vikali kwa wakati mmoja pale anapokuwa katika eneo lake la kazi.

Global TV iliipata fursa ya kuzungumza naye na kuzungumzia hali hiyo, na Manka Chuga ameeleza kuwa tabia hii ya kunywa vinywaji vikali imechangiwa na mitandao ya kijamii, ambapo aliona mtu mwingine akifanya jambo kama hilo na kuhamasishwa.

Manka Chuga ameeleza zaidi kuwa hajawahi kulewa tangu nimeanza kunywa pombe.

Getruda Fedrick ni maarufu siyo tu kwa biashara yake ya vinywaji mbalimbali (Grosary) bali pia ana taaluma ya unesi (nursing).



Prev Post Familia Yalia Baada ya Kutupiwa Vyombo Nje Nyumba Yao Jijini Dodoma – Video
Next Post Maelfu Wamiminika Kumsikiliza Dkt. Samia Mbogwe, Geita
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook