Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Video: Baba Alalamika Baada ya Mtoto Wake Kudaiwa Kubakwa Bagamoyo

  • 6
Scroll Down To Discover

Baba mmoja aitwaye Revocutus Dions, mkazi wa Mapinga, Wilaya ya Bagamoyo, mkoani Pwani, amefika katika ofisi za Global TV akilalamika kuhusu ukatili wa kijinsia uliomkumba mtoto wake baada ya kudaiwa kubakwa na kijana mmoja alipokuwa ametumwa na mama yake.

Akizungumza na Global TV, Dions alisema mtoto wake kwa sasa haendi shule kutokana na mshtuko na maumivu aliyopata kufuatia tukio hilo la kikatili.

🔴 Tufuatilie kupitia YouTube ya Global TV, like, comment ili kuendelea kuhabarika kila siku kwa habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika.



Prev Post Maria Corina Machado Aibuka Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel 2025
Next Post Kikwete: Sijafa Mimi Mzima Sina Ninapougua, Wanaoniobea Mabaya Watatangulia Wao – Video
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook