Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Majaliwa Mgeni Rasmi Mkutano Wa Wadau Wa Lishe

  • 4
Scroll Down To Discover

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Septemba 30, 2025 ni mgeni rasmi katika mkutano wa kumi na moja wa wadau wa lishe unaofanyika katika ukumbi wa mikutano wa APC uliyopo Bunju jijini Dar es Salaam

Mkutano huo ni jukwaa linalounganisha wadau wote wa lishe kujadili hatua zilizofikiwa, changamoto zilizopo na namna bora ya kuimarisha jitihada za pamoja katika kupambana na utapiamlo na kukuza afya za watanzania.

Pia, Mkutano huo unalenga kujadili na kuimarisha utekelezaji wa Mpango Jumuishi wa Pili wa Kitaifa wa Lishe (2021/22-2025/26)



Prev Post Nilipoteza Wateja Wote, Lakini Hatua Niliyopiga Ilinirudishia Biashara Na Wateja Wakubwa Zaidi
Next Post Vodacom Tanzania Foundation na JKCI Washirikiana Kupanua Huduma za Moyo kwa Watoto
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook