Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Je, Bobi Wine atatoboa katika azma yake ya kuwa rais nchini Uganda? Katika Dira ya Dunia TV

  • 7
Scroll Down To Discover

Mwanasiasa kinara wa upinzani nchini Uganda Bobi Wine ameteuliwa kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa mwakani. Hapo jana, Rais Yoweri Museveni alikuwa mgombea wa kwanza kuidhinishwa na tume ya uchaguzi kuwania tena kiti cha urais. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post Video: RC Chalamila Aingilia Mgogoro wa Nyumba Mikocheni Bakharesa
Next Post TBL Yazindua Ripoti Yake ya Maendeleo Endelevu kwa Mwaka 2025
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook