Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Taharuki Mikocheni: Mjane Avamiwa – Atimuliwa Na Wachina Kisa Deni La Milioni 150 La Marehemu Mumewe – Video

  • 1
Scroll Down To Discover

Taharuki kubwa imeibuka Mikocheni jijini Dar es Salaam, baada ya mjane Alice Haule kuvamiwa na watu kwenye nyumba yake aliyoachiwa na marehemu mumewe, Justice Rugaibula kisha kumtoa kwa nguvu pamoja na wapangaji wenye asili ya Kichina, waliokuwa wakiishi kwenye nyumba hiyo.

Taarifa za awali zinadai kuwa marehemu mumewe, alikopa fedha kutoka kwa mfanyabiashara mmoja, kiasi kinachotajwa kuwa ni shilingi milioni 150, ambapo alianza kurejesha lakini kabla hajamaliza, akafikwa na umauti.

Mvutano huo ukapelekwa mahakamani ambapo inadaiwa kuwa kabla ya muafaka kufikiwa, ndipo walipokuja kutolewa kwenye nyumba yao.



Prev Post Amend, Wadau Wakutana Kuweka Mipango Kudhibiti Ajali za Barabarani kwa Wanafunzi Dar
Next Post Eric Shigongo Aanza Kampeni za Nyumba kwa Nyumba Buchosa
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook