Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

UBORA UNAOONEKANA: BENKI YA MNB YANG’ARA TUZO ZA EURO MONEY 2026

  • 13
Scroll Down To Discover

Benki ya NMB imetwaa tuzo tatu katika Tuzo za Euromoney Private Banking 2026 jijini London, ikishinda Benki Bora ya Huduma za Wateja Maalum Tanzania, Benki Salama Zaidi ya Huduma za Wateja Maalum na Benki Bora kwa Uendelevu Tanzania.

Ushindi huo una zidi kuakisi uimara wa benki hiyo katika kutoa huduma mahususi kwa wateja, kuimarisha usalama wa fedha na kuongoza katika utekelezaji wa mikakati ya fedha endelevu.

Mafanikio haya yanaendelea kuimarisha nafasi ya Benki ya NMB kama kinara wa ubunifu na mshirika wa maendeleo ya uchumi Tanzania na kanda ya Afrika Mashariki.



Prev Post TANZANIA HOLDS B+RATING AS ECONOMY SHOWS STRONG GROWTH
Next Post RAIS SAMIA APOKEA RIPOTI YA TUME YA MABORESHO YA MFUMO WA KODI
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook