Kuna michezo mingi sana ya Kasino lakini sloti hii ya Book of Eskimo ni Zaidi ya mchezo ni uhalisia wa Maisha, Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakuletea sloti hii ya kijanja inayokupa uhalisia wa mazingira halisi mchezoni ambapo ushindi unapatikana kwa namna ambavyo wewe unaweza kuvumilia baridi kwenye mazingira ya namna hiyo.
Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakurejesha kwenye simulizi za mabingwa kuhusu juhudi zao za kushinda kirahisi, moja ya kitu kizuri kutoka Sloti ya Book of Eskimo ni mchezo unaokupa nafasi ya kushinda kirahisi ni uwezo wako tu wa kuvumilia baridi unapokua mchezoni ndio kitu pekee kinachoweza kukupatia ushindi.
Sloti ya Kasino ya Mtandaoni ya Book of Eskimo na Ubora Wake
Sloti ya the Book of Eskimo ni sloti ya kasino ya mtandaoni imeandaliwa vyema na Studio za Expanse, unayoweza kuipata kwenye kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet.
Mchezo huu umetengenezwa kwa ubora ikiwa na mandhari ya kwenye baridi, ambayo ingekuhitaji kuwa na nguo za joto kidogo kuweza kufurahia kuwepo kwako eneo hilo.
Thamani ya ushindi was loti hii unaipata kwenye alama mbalimbali, huku alama za barafu za herufi A, K na Q zikiwa na ushindi mdogo zaidi, huku alama zingine zikiwa ni alama za kukusaidia wewe kuiepuka baridi, ukiwa kwenye mazingira hayo zikikusogezea ushindi mkubwa.
Sloti hii inalipa vyema kwa mistari 5, 3 na 10 ya malipo, ambayo Inaweza kukuvusha kwenye kipindi cha barafu na kukupa ushindi.
Unaweza kufurahia ofa nyingi sana ndani ya mchezo huu kwenye kasino ya mtandaoni ya Meridianbet, wakati ukiwa karibu na ushindi wa jackpot mbali mbali za kasino. Tembelea kasino ya mtandaoni ya Meridianbet kujaribu mchezo huu na michezo mingine mingi uwe moja ya mabingwa wengi wa kila siku.
The post BOOK OF ESKIMO NI CASINO YA KIJANJA INAYOKUPA UHAKIKA WA MTONYO… appeared first on Soka La Bongo.
Chris Brown Ameripotiwa Kukamatwa Akiwa Hotelini Jijini Manchester, Nchini Uingereza Baada Ya Maafisa Usalama Wa ‘Met’ Kubaini Kuwa Muimbaji Huyo Ametua Jijini Humo Kwa Ndege Binafsi (Private Jet).
Kukamatwa Kwake Ni Kufuatia Msala Alioufanya 2023 Nchini Humo Wa Kumpiga Na Chupa Ya Mvinyo Producer Wa London Aitwaye ‘Abe Diaw’ Hadi Kuzimia.
Chris Brown Hadi Sasa Yupo Kituo Cha Polisi Kwa Ajili Ya Mahojiano. Kumbuka Pia Mtayarishaji Huyo Alimfungulia Kesi Breezy Akidai Fidia Ya $16M (Tsh Bilioni 43.1/=) Kwa Kumsababishia Majeraha Na Hasara.
The post Chris Brown ashitakiwa kwa kumshambulia mtu kwenye klabu ya Usiku appeared first on Wasafi Media.
• Kufundishwa ujasiriamali na Wataalamu wa Kimataifa kutoka Marekani
Vodacom Tanzania PLC, kwa kushirikiana na Huawei Tanzania, leo imezindua rasmi Msimu wa 4 wa Vodacom Digital Accelerator (VDA), hatua nyingine katika kusaidia ubunifu na ujasiriamali nchini.
Mwaka huu, biashara bunifu 15 zimechaguliwa kushiriki katika programu ya siku 5 ya Design Sprint, itakayoendeshwa na wataalam wa kimataifa kutoka programu ya MassChallenge ya nchini Marekani.
Lengo la Design Sprint ni kuboresha biashara zinazochipukia, kuimarisha ufanisi wa bidhaa sokoni na kuongeza maandalizi yao kwa ajili ya kuvutia uwekezaji. Kati ya hizi, biashara 10 zenye uwezo mkubwa wa kufanikiwa zitachaguliwa kwa safari ya miezi 3 ya kuendelezwa, ambapo zitapata ushauri wa kitaalam, msaada wa maendeleo ya biashara, na fursa mahususi za kufikia masoko ya ndani na ya kimataifa.
Msimu wa 4 wa VDA unaendeshwa kupitia ushirikiano wa kimkakati unaoendelea kati ya Vodacom na Huawei, jambo litakalowezesha wabunifu hao kushiriki kwenye safari ya kujifunza nchini China mwezi Juni. Wakati wa ziara hiyo ya kimataifa, wabunifu hao watakutanishwa na kampuni kubwa za teknolojia za nchini China, ili kujifunza mifumo ya ubunifu wa kisasa na pia kuwasilisha bunifu zao mbele ya wawekezaji binafsi na mashirika.
Vinara 15 wa Vodacom Digital Accelerator Season 4 Watangazwa! Washindi wa msimu wa 4 wa bunifu za kampuni changa (Startups), inayoandaliwa na Vodacom Tanzania, wakiwa katika picha ya pamoja na timu ya kampuni hiyo baada ya kutangazwa katika tukio lililofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
Katika hatua kubwa ya kuwaendeleza wajasiriamali chipukizi , msimu huu utakuwa na uwekezaji wa fedha taslimu zitatolewa kwa biashara tatu bora, ili kusaidia kukuza bunifu zao na hivyo kuwaongezea uwezo wa ushindani ndani na nje ya mipaka ya Tanzania.
“VDA ni jukwaa la ukuzaji wa kizazi kijacho cha wavumbuzi wa Kitanzania. Na kwa mara nyingine tunachanganya ubunifu wa ndani na uzoefu wa kimataifa tukiwasaidia vijana wabunifu katika kujenga biashara zinazoweza kupanuka, kupata uwekezaji na kuingia kwenye majukwaa ya kimataifa,” alisema Zuweina Farah, Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania.
Tangu kuanzishwa kwake, Vodacom Digital Accelerator imewezesha zaidi ya biashara chipukizi 75 nchini kwa kuwapatia nyenzo, mtaji na kuwakutanisha na wajasiriamali na makampuni makubwa iliyowawezesha kukua na kustawi. Msimu wa 4 unaendeleza urithi huu, kwa dhamira mpya ya ujumuishwaji wa kidijitali, uhifadhi wa baiyoanuai, ujasiriamali wa vijana na uwezeshaji wa kiuchumi.
Kuhusu Vodacom Digital Accelerator (VDA): Vodacom Digital Accelerator (VDA) ni programu Iliyoanzishwa mwaka 2019 na Vodacom tanzania PLC kwa lengo kuu ya kusaidia biashara chipukizi za kiteknolojia kukua.
VDAhutambua, kulea, na kukuza biashara changa na zinazokua za kiteknolojia zenye lengo la kutatua changamoto za jamii kwa njia ya ubunifu. Programu hii inachanganya ushauri wa kitaalam, ufikiaji wa masoko, maandalizi ya uwekezaji, na uzoefu wa kimataifa ili kusaidia biashara chipukizi za Kitanzania kustawi katika uchumi wa kidijitali unaoshindana.
The post Vodacom Digital Accelerator Yazindua msimu wa 4: Biashara bunifu 15 zateuliwa kushiriki Design Sprint appeared first on SwahiliTimes.