Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Jirani wa Marehemu Hazara ‘Ronaldo’ Alilia kwa Uchungu “Alikuwa Mtu wa Watu” – Video

  • 38
Scroll Down To Discover


Jirani wa marehemu Hazara almaarufu Ronaldo aliyekutwa amefariki dunia ndani ya chumba chake siku kadhaa zilizopita, amefanya mahojiano na Global TV na kumwaga machozi kwa uchungu.

Enzi za uhai wake, Hazara amewahi kupostiwa na Rais wa Marekani, Donald Trump akiwa anapiga danadana.



Prev Post KWA NINI KILA MTU ANA MISTARI TOFAUTI YA MKONO? SIRI YA KIPEKEE INAYOFICHWA NA KIGANJA
Next Post Trump Amshinikiza Iran Kufanya Makubaliano ya Nyuklia
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook