Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

RC Chalamila Awaomba Radhi Watumiaji Wa Mwendokasi

  • 47
Scroll Down To Discover

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewaomba radhi watumiaji wa magari ya Mwendokasi kwa adha wanazokumbana nazo katika kipindi hiki, akieleza kuwa serikali inaendelea kufanyia kazi changamoto zilizopo ili kuboresha huduma hiyo muhimu kwa wakazi wa jiji.

Tufuatilie kupitia YouTube ya Global TV — usisahau ku-like, ku-comment na ku-subscribe ili uendelee kuhabarika kila siku kwa habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika.



Prev Post Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu Wa TISS, Kanali Mstaafu Dkt. Hassy Kitine Afariki
Next Post PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO JULAI 26, 2025
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook