Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Je, Waziri Mkuu mpya Mwigulu Nchemba ndiye dawa ya Tanzania? Katika Dira ya Dunia TV

  • 21
Scroll Down To Discover

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemteua Mwigulu Nchemba, kuwa Waziri Mkuu wa taifa hilo kufutia uchaguzi mkuu wa Oktoba 29. Mwigulu ni mchumi, kada wa muda mrefu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akimrithi Kassim Majaliwa anayemaliza muda wake. Mwanasiasa huyo wa muda mrefu, alikuwa Waziri wa Fedha katika serikali ya awali. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post TTCL Yazindua Huduma Mpya ya Mawasiliano Ijulikanayo Kama T-Fibre Triple Hub
Next Post PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO NOVEMBA 14, 2025
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook